Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Wednesday, June 26, 2013

FAMILIA YA NELSON MANDELA YASAFISHA MAKABURI

Familia ya mzee Nelson mandela imeanza kusafisha makaburi pamoja na kupanda maua maeneo yanayozunguka viunga hivyo ikiwa ni ishara ya kujiandaa kwa lolote litakalotokea hivi karibuni..


Familia hiyo imefanya maamuzi hayo baada ya hali ya kiongozi huyo kuendelea kutokutia matumaini tangu kupelekwa kwake hospitali kwa ajili ya matibabu


KUMBUKA:
HUYU NDIYE KIONGOZI PEKEE AFRIKA ALIYEJITOA MAISHA YAKE KWA AJILI YA KUPINGA NA KUPAMBANA NA UBAGUZI WA RANGI DHIDI YA MAKABURU NCHINI AFRIKA YA KUSINI..

PIA MOJA YA MARADHI YANAYOMSUMBUA KIONGOZI HUYO NI PAMOJA NA KUATHIRIKA KWA MAPAFU MARADHIA AMBAYO YALIANZA KUMMALIZA TOKA ALIPOKUWA GEREZANI

TUNAKUPENDA NA TUTAKUPENDA DAIMA NELSON MANDELA
 


SOURCE---VOICE OF AMERICA(VOA)
Edit / Delete 

No comments:

Post a Comment