Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Sunday, June 30, 2013

PICHA:WANAFUNZI KITIVO CHA AFYA KITENGO YA PHARMACY CHUO KIKUU CHA RUCO WAFANYA SHEREHE YA KUWAAGA WAKUFUNZI WAO...tizama hapa

Ni miaka mitatu saa tangu wanafunzi hao waanze masomo yao ya stashahada ya afya kitengo cha famasia(2010-2013)Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustine tawi la RUCO hapa mkoani Iringa ambapo hapo jana walipata fursa ya kuwaaga wakufunzi  na wanafunzi wenzaowao ikiwa ni ishara ya umoja na ushirikiano

Pamoja na sherehe hizo pia lilifanyika tukio la kuzindua chama cha wanafunzi wafamasia Tanzania(TAPSA) ambacho hapo awali hakikuwahi kuwepo chuoni hapo .Rais wa chama hicho Tanzania ndiye aliyetakiwa kuzindua(alituma mwakilishi) na hivyo kufanya chama hicho kutambulika kitaifa

Haya ni baadhi tu ya matukio yaliyojiri katika sherehe hizo


Hawa ndio wahitimu wa kitengo cha famasia 2013

Hawa ni wanafunzi wa mwaka wa tatu(wahitimu) wakipata vinywaji




Hii ni keki iliyoandaliwa kwa ajili ya uzinduzi wa chama hicho(TAPSA)

Kuanzia kushoto ni mkuu wa idara ya afya,mlezi wa chama,Rais wa chama,mgeni rasmi,mfamasia wa mapispaa ya iringa pamoja na mkuu waa kitengo cha pharmacy katika chuo kikuu cha RUCO


Hawa nio viongozi wateule wa TAPSA

 
 
Mkuu wa idara ya afya Mr Gasper Bartazary akizungumza jambo wakati wa kula keki
 
 
 
 Mkuu wa kitengo cha famasia Mr Mdegela Petro akizungumza neno kabla hajamlisha mfamasia wa manispaa ya iringa(Mr Alfred) keki
 
 
 
 Wanafunzi wanaobaki wakutumbuiza na kitu ya ngwasuma
 
 
Hapa chini..mlezi(Mr Mdugi Goodluck)  akilishwa keki na rais Rais wa chama hicho
 

No comments:

Post a Comment