Mh Silinde ambaye ni mbunge wa jimbo la Mbozi Magharibi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ambaye pia ndiye aliyepewa dhamana ya kuhakikishwa ushindi unapatikana kata katika kata hiyo
Maandamano hayo yaliyofanyika huku mvua kubwa ikinyesha yalihudhuriwa na wakazi maelfu kwa maelfu wa kata ya njombe mjini.
Hii ilipelekea chama cha mapinduzi kushindwa kabisa kufanya mkutano wao hivyo kukimbilia polisi kuomba msaada ili kusitisha zoezi la msafara wa CHADEMA.\
Haikufua dafu kwani viongozi walijipanga vizuri na waliwashinda polisi kwa hoja na kuendelea na msafara wao huku polisi wakighairi na kuanza kulinda msafara huo.
Hivi ndivyo ilivyokuwa leo katika picha
No comments:
Post a Comment