Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Sunday, December 30, 2012

CHADEMA MBEYA WAFUNGUKA


Jana Mkoani Mbeya kimefanyika kikao cha Baraza kuu la Mkoa ambapo wajumbe wa Wilaya zote walihudhuria..
Kikao kiliazimia mambo makuu yafuatayo;
1; kumtimua rasmi ndugu Edo Makata Mwamalala uanachama.
2; kumsimamisha m/kiti BAVICHA mkoa ndugu Kasambala nyadhifa zake zote ndani ya chama.
3;kuundwa kwa  kamati ya uchunguzi ili kuwabaini wale wote wanaotuhumiwa kukichafua chama.
Ikumbukwe  kuwa ndugu Edo Kasambala ndiye aliyekwenda kwenye vyombo vya habari kumtaka Dr SLAA ajiuzuru kwa kuwa na kadi mbili.
Pia inasemekana kuwa bwana kasambala ni sehemu ya kundi la MASALIA ambalo linatuhumiwa kukihujuma chama.
 
source-jamii forum

No comments:

Post a Comment