Katika Hali ya Kuweweseka kuhusu maandamano yaliyofanyika juzi
Mtwara Kupinga usafirishaji wa gesi asilia kwenda Dar. Waziri Sospeter amesema
Wanasiasa ndio walio ratibu maandamano kwa nia ya kutaka nchi igawanyike
vipandevipande.
Amedai Gesi ni ya wa Tanzania na sio wana Mtwara peke yao kwani
hata wakiachiwa hawataweza kuitumia. Amewaambia wanaoratibu Maandamano kuwa
Mbona wakati gesi haijagunduliwa Wana Mtwara walikuwa wanafaidika na fedha
zinazo tokana na Mkonge Morogoro Na Tanga?? Alipoulizwa kuhusu hatua walizo
wachukulia wanasiasa hao alisema yeye na wizara yake hawahusiki kuchukua hatua.
Amesema pia anaandaa taarifa ambayo itaelezea kinagaubaga jinsi wanasiasa walivyoratibu maandamano na ataitoa baada ya Tamko la serikali litakalo tolewa na Raisi leo atakapo kuwa anatoa hotuba ya Kufungia mwaka.
Source Radio One
Amesema pia anaandaa taarifa ambayo itaelezea kinagaubaga jinsi wanasiasa walivyoratibu maandamano na ataitoa baada ya Tamko la serikali litakalo tolewa na Raisi leo atakapo kuwa anatoa hotuba ya Kufungia mwaka.
Source Radio One
No comments:
Post a Comment