Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Friday, December 21, 2012

UPDATES...GODBLESS LEMA



 

Mahakama imejiridhisha kuwa madai ya udhalilishaji hayakuathiri uchaguzi wala mlalamikaji. Hivyo basi, Godbless Lema ni mbunge halali wa Arusha mjini kwa tiketi ya CHADEMA na mlalamikaji ameamuliwa kulipa gharama zote za kesi tangu ilipofunguliwa. [source - jf]


No comments:

Post a Comment