Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Sunday, January 6, 2013

CCM, MTWARA WAVUTANA, WANANCHI WASEMA LIWALO NA LIWE

Baada ya Rais wa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete kupingana na maamuzi ya wanamtwara   juu ya usafirishwaji wa gesi asilia kutoka mtwara kwenda Dar es laam, na kufanyika kwa vikao mbalimbali vya chama nvinavyopanga namna yaa kuwaadhibu waliopanga maandamano hayo,wananchi wa wamtwara wamekaa jana na kutoa kauli ya mwisho juu ya maamuzi yao
 
 
wakizungumza katika kikao hicho wamesema hawataruhusu kwa namna yeyote ile gesi isafirishwe wakati wao waakiendelea kuwa masikini, mmoja wa wahanga hao huku akiwa na hasira kali alisema hawako tayari kuzulumiwa haki yao ya msingi na serikali hiyo na akasisitiza kuwa liwalo na liwe.
 
 
Huku sakata hilo likiendelea kuwa na sura mpya Maaskofu nao wameonesha wazi kutokuiunga serikali mkono katika maamuzi yao kwani kwa kufamya hivyo ni kuwaumiza wananchi
 
 

Wananchi wa Mtwara wakichangishana pesa za kusaidia harakati za ukombozi




Mmoja kati ya wananchi akizungumza jambo juu ya maamuzi ya Rais Jakaya Kikwete kutokubali gesi kubaki Mtwara

No comments:

Post a Comment