Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Sunday, January 6, 2013

CHADEMA SASA KUSALIMIKA

TETESI;
Kutoka kwenye chanzo kinachoaminika inasemekana kwamba waliokuwa viongozi wa chadema ngazi ya baraza la vijana baadhi yao waenguliwa kwa utovu wa nidhani.

Ni katika kikao kilichofanywa hapo jana na viongozi wa kitaifa wa baraza hilo.

Tutaendelea kupeana taarifa kwa kadili mambo yatakavyokuwa.

STAY  TUNED

No comments:

Post a Comment