Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Monday, January 14, 2013

NAPE MNAUYE AWATABIRIA USHINDI CHADEMA

 
Katika hali isiyotegemewa na wengi ndgu. Nape Nnauye amekiri ya kuwa kwa hali ilivyo sasa WAPINZANI wananafasi kubwa ya kuingia ikulu.
Hii ni kutokana na mambo yalivyo ndani ya CCM na huku upinzani ukijipenyeza hadi vijijini.

Pia aliongeza ya kwamba MAFISADI NA KUNDI LAO ndani ya chama wanamchukia kutokana na misimamo yake dhidi ya Mafisadi.

Habari zaidi. Dira ya Mtanzania.

Kwa hali ilivyo kusini mwa nchi CCM wamesoma alama za majira.
Huwezi kumfanya mtu mjinga milele

No comments:

Post a Comment