Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Tuesday, January 15, 2013

VINCENT NYERERE ANASHIKILIWA NA POLISI KWA MADAI YA KUHAMASISHA MAANDAMANO IFM

Mbunge wa Musoma mjini Vicent Nyerere anashikiliwa na polisi kwakosa la kuhamasisa maandano ya wanafunzi wa IFM jana.

 taarifa nilizo zipata ni kuwa Vincent alienda jana kwenye chuo hicho na muda mfupi baadae kulitokea maandamano na vuruguru kubwa, hivyo anahisiwa kuwa yeye ndiyo chanzo cha vurugu hizo...
Naendelea kufuatilia kwa ukaribu kabisa habari hizi

No comments:

Post a Comment