Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Saturday, June 22, 2013

HUU NDIO MTAZAMO WA MHE: ZITTO KABWE JUU YA KAULI YA MHE MIZENGO PINDA BUNGENI.




ALICHOKIANDIKA ZITTO KABWE KUHUSU KAULI YA PINDA KURUHUSU POLISI KUPIGA WANANCHI



Baada ya Mhe Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutoa ruhusa kwa polisi kupiga wananchi, Mh Zitto Kabwe nae atoa tamko lake juu ya tamko hilo. Kupitia account ya  tweeter Zitto alisema;
“Viongozi wa kisiasa lazima wajue kuweka akiba ya maneno yao. Kuropoka hovyo hovyo wakati kama huu wenye taharuki ni hatarii sana”.
Aliongeza pia kwa kusema;
“Ni lazima viongozi wawajibishwe kwa maneno wanayotamka.Mh. Pinda anahamasisha ukiukwaji wa katiba na sheria".



No comments:

Post a Comment