Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Monday, June 17, 2013

PICHA;HAYA NDIYO MATUKIO MBALIMBALI YALIYOTOKEA WAKATI WA UCHAGUZI WA UDIWANI WILAYANI KILOLO

Mbali na mambo mengi kutokea katika uchaguzi uliofanyika kata ya Nga'nga'nge wilayani kilolo yakiwemo ya kujeruhiwa kwa kiongozi wa baraza la wazee la wilaya mzee NyaulingoLunyiliko na viongozi wa CCM,wananchi kutishiwa kushiriki mikutano ya CHADEMA,haya ni baadhi ya yaliyokuwa yakijili wakati wa mckakato huo wa kumpata diwani katika kata hiyo
Mh Chiku Abwao(viti maalumu mkoa Iringa) akimnadi mgombea wa CHADEMA bwana Nafred Chahe.

Mwenyekiti wa Chadema chuo kikuu cha Ruco aliyestaafu akimuombea kura mgombea kwa wananchi


Shamra shamra wakati wa kufunga kampeni


Mhe Chiku Abwao akishambulia ugali na mboga za majani baada ya kampeni
Rais wa chuo kikuu cha RUCO akiwa katika pozi na taifa la kesho kijijini hapo



Wanafunzi chuo kikuu(RUCO) wakiota moto baada ya kutoka kwenye kampeni
Huyu ni mzee wa chadema aliyepigwa na viongozi wa CCM akitokea kwenye kibanda cha maziwa

katika uchaguzi huu CCM walishinda kiti cha udiwani dhidi ya mpinzani wake mkali CHADEMA




No comments:

Post a Comment