HATUA ya mwanazuoni wa siku nyingi nchini, Profesa Issa Shivji kupinga
hukumu ya Mahakama ya Rufani Tanzania iliyomrejeshea ubunge wa Arusha
Mjini, Godbless Lema imemtia matatani na baadhi ya watu wanasema gwiji
huyo wa sheria “huenda amenukuliwa vibaya au hajasoma hukumu husika.”
bofya hapo kupata habari kamili.
http://www.mwananchi.co.tz/habari/Siasa/-/1597332/1653558/-/bpchg6z/-/index.html
No comments:
Post a Comment