Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Wednesday, December 26, 2012

TUNDU LISU KUUNGURUMA IRINGA MJINI


Baada ya kiboko ya mkapa  kutoa vionjo vyake kwa wanairinga{vincent nyerere}, mnadhimu mkuu kambi ya upinzani bungeni Mh. Tundu Lisu atahutubia wakazi wa Iringa mjini siku ya  Alhamisi tarehe 03.01.13  katika viwanja  vya Mwembetogwa, Manispaa ya Iringa mjini.

Ni ukweli usiopingika kwamba wakazi wa iringa wana hamu kubwa ya kumsikia kamanda huyo baada ya kufanikisha kwa kiwango kikubwa ushindi wa rufaa ya kesi ya Mh. Godbless Lema iliyomrudishia ubunge wake mapema wiki iliyopita.

Tundu lisu ni mbunge wa jimbo la Singida Mashariki

 

Mh. Tundu Lisu akiwa na Mh. Peter Msigwa siku alipotembelea mjini iringa

No comments:

Post a Comment