Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Saturday, January 26, 2013

BREAKING NEWZ: VURUGU MASASI

Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa kumetokea maandamano yanayo ambatana na vurugu huko Masasi, chanzo kikisemekana kuwa ni kuchoshwa na manyanyaso ya Polisi dhidi ya vijana wa boda boda. Nyumba ya mbunge inasemekana kuharibiwa, na mahakama kuchomwa moto. Baada ya askari wa Masasi kuzidiwa, imebidi waagizwe wengine kutoka Mtwara.

updates

Mali za mbunge zikiteketea

Watu wakihaha kuokoa mali za mbunge


PICHA ZAIDI




Hii yasemekana kuwa ni mahakama ya mwanzo



Tarajia habari zaidi juu ya tukio hili na matukio mengine

[kutoka mitandao ya kijamii]

No comments:

Post a Comment