Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Wednesday, January 23, 2013

CCM yapasuka kagera

Mgogoro mkubwa unaoendelea kufukuta ndani ya Chama Cha Mapinduzi [C.C.M] wilaya ya Bukoba mjini mkoani Kagera kati ya madiwani na meya wa jiji hilo, Anatory Amani, umemlazimu makamu mwenyekiti wa chama hicho Philip Mangula kwenda kutuliza upepo.


Bofya link hii kwa habari zaidi

No comments:

Post a Comment