Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Friday, January 18, 2013

WAISLAMU NAO KUPINGA GESI YA MTWARA KUSAFIRISHWA

Dua na Tamko la Waislamu/wananchi kuhusu Gas Mtwara!!
Baada ya viongozi wa dini ya kikristo kutoa matamko yao juu ya hujuma za serikali kuhusu gesi ya mtwara,waislamu nao wamekutana leo kujadili juu ya suala hilo

Wakiungana na wananchi wengine nchini kote wanasema hata wao hawako tayari gesi kutoka mtwara bila kujua itawanufaishaje



No comments:

Post a Comment