Katika mwendelezo huo leo wanafunzi wa chuo kikuu cha RUCO walikuwa wanafanya usafi katika makaburi ya Mlandege,lakini pia walipanda miti katika bustani ya manispaa ambayo iko posta.
Wanafunzi wamewaomba wananchi wawe mstari wa mbele kuufanya mkoa wao kuwa safi bila kujali hilo ni jukumu la nani hasa kiutaratibu kwani madhara huwakuta woye bila kujali nani alistahili
HAWA NI WANAFUNZI WA RUCO KATIKA MATUKIO MBALIMBALI
wanafunzi wa RUCO wakisukuma mkokoteni wenye miti tayari kwa kwenda kupandwa
katibu wa tawi la RUCO bwana Nicolaus Mpandula(mwenye skaf) akishiriki kupanda miti
wanachama wa CHADEMA RUCO wakifukua shimo tayari kwa kupanda mti

Mwenyekiti wa tawi la RUCO(Rose Mayemba) akifyeka nyasi katika makaburi ya Mlandege

Wanachama wa RUCO baada ya zoezi la kufyeka nyasi katika makaburi ya mlandege



No comments:
Post a Comment