Edwin Bliss C

Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.

Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.

Thursday, January 24, 2013

Wassira na mgogoro wa kidini mkoani Mwanza

[kutoka mitandao ya kijamii]

Mgogoro juu ya uchinjaji nyama mkoani Mwanza umechukua sura mpya baada ya hoja za Waziri Stephen Wasira kupingwa na waumini wa dini ya kikristo. Hii ni baada ya waziri huyo kutoa tomko la kwa niaba ya serikali kuwa suala la uchinjaji halina budi kuachwa kwa waislamu kwakuwa hiyo ni ibada kwao. Hata hivyo ilidaiwa kuwa haiwezekani suala hilo likabaki hivyo kwani ni kama kuwapendelea Waislamu kutokana na matakwa yao.


No comments:

Post a Comment