Article 18 [a] Every person has a freedom of opinion and expression of his ideas (United Republic of Tanzania Constitution)
Edwin Bliss C
Success does not mean the absence of failure; it means the attainment of ultimate objectves. It means winning the war, not every battle.
Kufanikiwa hakumaanishi kushinda kila jambo; kunamaanisha kufikia malengo. Kunamaanisha kushinda vita na sio kila pambano.
Tuesday, July 2, 2013
OBAMA NA BUSH WAKUTANA DAR
Rais Obama na Bush walikuatana leo asubuhi katika balozi za Marekani zilizopo jijini Dar es Salaam na kutoa heshima zao kwa wale waliopoteza maisha kutokana na shambulio la kigaidi nchini Tanzania mwaka 1998.
No comments:
Post a Comment